Muimbaji Wa Nyimbo za Injili Kutoka Mbeya Tz Ambaye pia Ni MC na Producer Fidia Tinga Arimaarufu kama Mwana Wa Tinga au MC TINGA TINGA Amedondokea kwenye bahati ya Kuwa Balozi wa Sabuni Ya Kuogea Iitwayo OZONA SOAP jijini Mbeya .
Mtu yeyote atakae hitaji sabuni hizo amtafute Fidia Tinga kupitia simu namba +255758787766 hapo atamueleza kuwa wapi zinapatikana .
"Watu Watumie Sabuni hii maana nimeithibitisha kuwa ni Nzuri kuogea . Alisema Fidia Tinga"
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment