Ile album iliyo subiriwa takribani mwaka mzima hivi sasa ipo tayari
Ni album ya mtumishi wa Mungu Fidia Tinga mwana wa Tinga muimbaji wa Nyimbo za injili Tz kutoka jijini Mbeya.
Sasa unaweza jipatia nakala yako kwa kumtafuta yeye moja kwa moja kupitia namba zake zifuatazo ..
Voda:0758787766
Tigo:0679168532
Wahi mapema kabisaaaa wakati kitu kimetoka motoni yaani chamotoooo ...
UBARIKIWE SANA
0 comments:
Post a Comment