Baada ya kuzunguka location kadha wa kadha katika kuandaa video ya album hiyo hatimae sasa maandalizi yafikia mwishoni , Tunamshukuru Mungu sana kwa kututetea kila hatua tuliyo pitia tunaamini niyeye katupigania , pia shukrani za kipekee zimfikie director wa kazi hiyo ambaye ndiye meneja wa kampuni tulilofanya nalo kazi SAYUNI VIDEO PRODUCTION aitwaye Gabriel Kandonga .
Ahadi yake kwa wadau wa Muziki wa injili ni kuwawahishia kazi hii ili mkaendelee kufirahia kwa kuitazama mkiwa majumbani kwenu .
Endelea kutembelea ukurasa huu ili kujua kila hatua inapo fikia .
MUNGU AWABARIKI SANA.
Ahadi yake kwa wadau wa Muziki wa injili ni kuwawahishia kazi hii ili mkaendelee kufirahia kwa kuitazama mkiwa majumbani kwenu .
Endelea kutembelea ukurasa huu ili kujua kila hatua inapo fikia .
MUNGU AWABARIKI SANA.
0 comments:
Post a Comment